Vifaa tiba vilivyotumika vinahitajika

Vifaa tiba vilivyotumika vinahitajika

TheForgotten Genious

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2014
Posts
2,087
Reaction score
3,156
Vinahitajika vifaa vya hospital vilivyo tumika kama ipasavyo,

bei iliyoandikwa inaweza kupungua kulingana na ubora ama muonekano wa kifaa husika.

1. Ward bed 4 @ 100,000/=

2. Examination bed 2 @ 100,000/=

3. Labor/Gynecology bed 1 @ 200,000/=

4. Autoclave 15ltr 1 @ 200,000/=

5. Examination screen 1 @ 100,000/=

ZINGATIA.
Viwe DAR

Mmiliki ndiye anayehitajika na sio dalali.

Tuwasiliane kwa ujumbe siri
 
Mkihitaji viungo vya binadamu niambieni, nina mikono, miguu, figo mpaka mikundu kwa wale mashoga wanaotaka kurudisha marinda.
 
Back
Top Bottom