Vifaa vya kilimo Vs madini

changman

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2011
Posts
229
Reaction score
90
Habari wandugu.

Nasikia kwamba katika kuhamasisha kilimo bongo, wakati wa kuingiza vifaa vya killimo nchini hulipii kodi bandarini. Hii pia iko kwenye vifaa vya madini? mfano wash plants n.k
 
Nani kakudanganya? Ingia kwenye website ya TRA kuna utaratibu wote utajua huko inakuwa kuwa je
Habari wandugu.

Nasikia kwamba katika kuhamasisha kilimo bongo, wakati wa kuingiza vifaa vya killimo nchini hulipii kodi bandarini. Hii pia iko kwenye vifaa vya madini? mfano wash plants n.k
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…