Vifaa vya Radio station

Josh Ramadhan

Member
Joined
Nov 8, 2013
Posts
60
Reaction score
10
Salam ndugu zangu kwa mwenye kufahamu anaisadie ni vifaa vip ambavyo vinahitajika katika radio station.. Ili iweze kurusha matangazo yake hewani.. Msaada jaman kwa mwenye kujua.. Asanteni
 
mkuu kuna vitu vingine huwa havihitaji sana usubilie kuambiwa kwa kuwa ww ndio mwenye shida mm ningekushauri kwanza uanze kugoogle na kutafuta majibu ya swalu lako kwenye source mbali mbali naamini ungepata majibu ya basic baada ya hapo ndio ungekuja na maswali ya kuwauliza wadau hasa kuleee kwenye jukwaa la tech kuwa ni aina gani ya kifaa ni kizuri kwa hapa bongo na kwa kimatumizi na bei na upatikanaji wake na ubora wake kule ndio wangekushauri vizuri kabisaaa.

hembu fanya ujiongeze kidogo basi mkuu
 
Salam ndugu zangu kwa mwenye kufahamu anaisadie ni vifaa vip ambavyo vinahitajika katika radio station.. Ili iweze kurusha matangazo yake hewani.. Msaada jaman kwa mwenye kujua.. Asanteni

Nipigie nikupatie mchanganuo wa vifaa hivyo. 0764533543
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…