SOLD: Vifaa vya saluni vinauzwa vyote

Duuh unakuta mtu ulikuwa na mtaji wako wa ngama alafu unawekeza mambo yanaenda kombo unaamua kuuza Kila kitu - nawaza tu
 
Kwanini unauza
 
Vipi unahama nchi au wewe ajira mpya umepangiwa kigoma na unaishi dsm.?

#MaendeleoHayanaChama
 
Saloon iko vizuri sanaaa, iko sehemu gani hii?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…