Vifaa vya stationary vinauzwa

Kambamiti

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2013
Posts
291
Reaction score
165
Ninauza vifaa vifuatavyo vya stationery:
heavy duty photocopy machine ( Canon IR 2230), computer, laminating machine na binding machine. vyote vipo katika hali nzuri. Anaehitaji ani PM au tuwasiliane kwa ha.muji@yahoo.com
 
Upo wapi, kwann unauza. Naomba namba yako au nibeep 0715719171
 
Upo wapi, kwann unauza. Naomba namba yako au nibeep 0715719171

Nipo Dar. Lengo lilikuwa kufungua stationery, lakini kuna mambo yameingiliana, hivyo inanilazimu kuuza. Karibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…