Vifaa vya umeme kwa bei ya jumla Dar kwa bei nafuu

Vifaa vya umeme kwa bei ya jumla Dar kwa bei nafuu

Mayova

Senior Member
Joined
May 10, 2018
Posts
189
Reaction score
132
Wapendwa katika bwana … naombeni mwenye kujua sehemu ambapo wanauza vifaa vya umeme kwa bei ya jumla Dar es Salaam kwa bei nafuu
 
Njoo mbagala mkuu 1.5mm ni 1400-1500. 2.5 ni 2000 double socket tronic 7000 wakati sehemu zingine 1.5 ni 1800 2.5 2500
 
Back
Top Bottom