Vifahamu vyanzo vya Haki za Binadamu nchini Tanzania

Vifahamu vyanzo vya Haki za Binadamu nchini Tanzania

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124
1608289325984.png

HAKI ZA BINADAMU

Hakiki za binadamu ni stahili alizonazo kila binadamu kwa asili ya kuwa binadamu.

Chanzo kikuu cha haki za binadamu nchini Tanzania ni Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977.

Sambamba na Katiba, vipo vyanzo vingine vya haki za binadamu nchini, kama vile

Sheria ya Mtoto Namba 21 ya mwaka 2009

Sheriaa Watu Wenye Ulemavu Namba 9 ya mwaka 2010,

Sheriaya Kuzuia na Kudhibiti Ukimwi Namba 28 ya mwaka 2008

Sheria ya Ajira na Mahusiano Kazini namba 6 ya mwaka 2004,

Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai, Sura ya 20(R.E. 2002)

Mikataba mbalimbali ya Haki za Binadamu ya kimataifa na ya kikanda ambayo Tanzania imeisaini na kuiridhia.
 
Upvote 1
Advocacy Team, mbona maamuzi ya mahakama (Case Laws) mmeyaacha kwenye vyanzo vyenu ???
 
Customery and religious bado sijaona.
Customary Law kuwa chanzo cha haki za kibinadamu siyo sana, hasa kwa nchi kama Tanzania.
Japo itategemea na utakavyojenga hoja yako, Afrika Kusini Customs ni chanzo cha haki.
Wenyewe wanaita The Philosophy of UBUNTU, lakini nazo ni haki za kundi (3rd Gen).
Maandishi ya watu kama kina Shivj .
Scholarly Works uko sawa kabisa hasa kwa kipindi hiki cha karne ya 21.
Japo sidhani kama Prof Shivji kaandika sana kuhusu haki za binadamu.
Kazi za waandishi kama Chris Maina na Clement Mashamba ni vyanzo.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom