Siyo rahisi kwa huko Namtumbo kuhudhuria haya mashindanohaya mashindano labda ulaya huko!
hapa bongo sijawah sikia wala hudhuria shindano la hadhi la kuku hao wa kuchi
Vipo vingapiNipo Arusha...70,000@
Mimi nilijua labda umekosea ni 7,000/ kwa 70,000/ kula mwenyewe uone kama thamani ya hela hiyo na huyo kuku vinalingana.Huku Geita vifaranga wanauzwa 6000/Hujui thamani yake ndio maana unaongea pumba..ndio maana kuna mbuzi na kuku. Kwanini unanunua Bata Bukini laki 3 paka laki 4 kwa pear? Na Bata maji ni 40,000 kwa pear?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kuku 70000 sijawahi skia hiyo bei,au labda kama unauza vifaranga vya mbuni
Kwanini umekasirika labda?Hujui thamani yake ndio maana unaongea pumba..ndio maana kuna mbuzi na kuku. Kwanini unanunua Bata Bukini laki 3 paka laki 4 kwa pear? Na Bata maji ni 40,000 kwa pear?
Itakua wanauwezo wa kucheza BIKO labda!Wanaongea mbona bei kubwa ivyo?
Pair sio pearHujui thamani yake ndio maana unaongea pumba..ndio maana kuna mbuzi na kuku. Kwanini unanunua Bata Bukini laki 3 paka laki 4 kwa pear? Na Bata maji ni 40,000 kwa pear?
Nenda Singida kawatafute wapoAksante mkuu kwa tangazo lako ila hiyo bei ni kiboko
[emoji23] [emoji23]Kwani ukila hao kuku wa elfu 70 unapunguziwa dhambi?