Nenda kwa wavuvi
Kwa Dar es salaam
Mkuu hakikisha Jani limekauka vizuri kabla hujavuta
Wasiliana na Faith Aquaculture, wapo Kibamba, dar es Salaam. 0717-537070.Pia unaweza kuwasiliana na Kingorwila Government Fish Hatchery, Morogoro. 0767-503058.Kila la heri mdau wa aquaculture.Natafuta vifaranga mbegu nzuri. Nani anao wa sato?