Vifaranga wa bata bukini wa mwezi na nusu

Vifaranga wa bata bukini wa mwezi na nusu

rr4

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2015
Posts
3,797
Reaction score
5,510
Habari,

Ninauza vifaranga wa Bata BUKINI wa MWEZI na nusu.

Wamebaki watatu... Dume moja na jike mbili.

Bei Ni tsh. 30,000@ kwa rejareja na tsh. 25,000@ kwa jumla.

Wapo maeneo ya kiboriloni, Moshi Mkoani Kilimanjaro.
IMG_20200919_102505.jpg
IMG_20200919_102434.jpg
IMG_20200922_101743.jpg
IMG_20200922_101749.jpg
IMG_20200919_102438.jpg
IMG_20200923_070717.jpg
 
🦆🦆🦆🦆🦆🦆🦆🐣🐣🐣🐣🐣
 
Aisee hao bata nawatamani sana.
Ni ndoto yangu kuwafuga hao bata.
One day itatimia.
 
Niliwaulizia sehemu nikaambiwa bei yao laki na kitu wakubwa.
 
Hawachafui mazingira kama wale bata wetu wengine
Bata Ni Bata tu Ila Hawa Ni Bukini wakubwa, hawachafui Sana pamoja na kuwa mlo wao unajumuisha majani kwa asilimia kubwa.

Kwasababu ya Kula majani kinyesi Chao huwa si kichafu Kama mabata wa kawaida.

Ni urembo mzuri wa nyumbani, pia wakiona mtu iwe usiku au mchana wanapiga kelele hivyo Ni ulinzi pia na Ni mlo mzuri.
 
Bata Ni Bata tu Ila Hawa Ni Bukini wakubwa, hawachafui Sana pamoja na kuwa mlo wao unajumuisha majani kwa asilimia kubwa.

Kwasababu ya Kula majani kinyesi Chao huwa si kichafu Kama mabata wa kawaida.

Ni urembo mzuri wa nyumbani, pia wakiona mtu iwe usiku au mchana wanapiga kelele hivyo Ni ulinzi pia na Ni mlo mzuri.
Nipe namba nikupigie ss hv mkuu....
 
Unaweza ukaniletea Arusha?
Wacha nicheki na jamaa wa fuso nitakuambia.... Au pia unaweza ukaulizia wajamaa wa fuso Hapo kilombero sokoni au karibu na posta Arusha wakakuunganisha na mwenzao anayekuja huko.....
 
Wacha nicheki na jamaa wa fuso nitakuambia.... Au pia unaweza ukaulizia wajamaa wa fuso Hapo kilombero sokoni au karibu na posta Arusha wakakuunganisha na mwenzao anayekuja huko.....
Nipe namba mkuu tuongee biashara...
 
Kiongozi Unawauza Je Bei Chama Na Serikali Nitapata Hao Bata
 
Back
Top Bottom