chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
Nimeona Mchungaji Msigwa amejiunga katika ziara ya Tundu Lissu. Wakati Msigwa akigombea, Lissu alipita Iringa na akatoa neno kama la kumtetea Msigwa alipokuwa akipambana na kampeni konki za Sugu.
Msigwa naye, baada ya kuchapwa akachapika, na yeye karudia kauli za baba yake kisiasa, Tundu Antipas Lissu. Inasemekana alienda "kumsemelea" Mbowe, Sugu, Mrema na Kigaila kwa Liissu
Msigwa naye, baada ya kuchapwa akachapika, na yeye karudia kauli za baba yake kisiasa, Tundu Antipas Lissu. Inasemekana alienda "kumsemelea" Mbowe, Sugu, Mrema na Kigaila kwa Liissu