Mapengo 17
R I P
- Mar 28, 2014
- 1,229
- 610
Makundi ya watu wanaoshangilia, yamempokea Rais Uhuru Kenyatta ambaye amerejea Nairobi nchini Kenya baada ya kuhudhuria katika Mahakama ya Kimataifa ICC, iliyopo The Hague.
Kenyatta alihudhuria shauri Mahakamani siku ya Jumatano, Octoba 8, 2014 na kuwa rais wa kwanza aliyepo madarakani kufika katika mahakama ya ICC.
Anakanusha mashtaka dhidi yake ya uhalifu dhidi ya ubinaadam kuhusiana na ghasia za baada ya uchaguzi wa mwaka 2007, zilizosababisha vifo vya watu 1,200 na wengine 600,000 kupoteza makazi.
Rais Kenyatta alipokelewa Nairobi kwa gwaride la heshima na ngoma tangu saa 6:30 asubuhi ya leo Octoba 9, 2014.
Source: Citizen TV
Kenyatta alihudhuria shauri Mahakamani siku ya Jumatano, Octoba 8, 2014 na kuwa rais wa kwanza aliyepo madarakani kufika katika mahakama ya ICC.
Anakanusha mashtaka dhidi yake ya uhalifu dhidi ya ubinaadam kuhusiana na ghasia za baada ya uchaguzi wa mwaka 2007, zilizosababisha vifo vya watu 1,200 na wengine 600,000 kupoteza makazi.
Rais Kenyatta alipokelewa Nairobi kwa gwaride la heshima na ngoma tangu saa 6:30 asubuhi ya leo Octoba 9, 2014.
Source: Citizen TV