#COVID19 Vifo Nchini Brazil vyafikia 600,000

#COVID19 Vifo Nchini Brazil vyafikia 600,000

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368
Taifa hilo limerekodi zaidi ya vifo 600,000 vya COVID19, ikiwa ni Nchi ya pili duniani kufikisha idadi hiyo baada ya Marekani ambayo imerekodi vifo 672,196 tangu kuanza kwa mlipuko

Brazil imerekodi visa vipya 18,172 na vifo 615 kwa mujibu wa takwimu zilizotolewa na Wizara ya Afya

=======

Brazil has registered more than 600,000 deaths due to COVID-19, the Health Ministry said on Friday, making it the second country in the world to pass that milestone after the United States.

Brazil registered 18,172 new cases of coronavirus and 615 additional deaths on Friday, according to ministry data.

Source: Reuters
 
Waenderee na uasherati na mauchafu kama yote linchi limejaa uchafu, na wataendelea kufa na mazambi yao.
 
Hebu subir kwanza,

Kwani visa vipya vya Malalia huwa vinaua wangapi kwa siku, saa, mwezi na mwaka?
IMG_20210916_185756.jpg
 
Taifa hilo limerekodi zaidi ya vifo 600,000 vya COVID19, ikiwa ni Nchi ya pili duniani kufikisha idadi hiyo baada ya Marekani ambayo imerekodi vifo 672,196 tangu kuanza kwa mlipuko

Brazil imerekodi visa vipya 18,172 na vifo 615 kwa mujibu wa takwimu zilizotolewa na Wizara ya Afya

=======

Brazil has registered more than 600,000 deaths due to COVID-19, the Health Ministry said on Friday, making it the second country in the world to pass that milestone after the United States.

Brazil registered 18,172 new cases of coronavirus and 615 additional deaths on Friday, according to ministry data.

Source: Reuters
Covid itaisha lini Ili tupumue?
 
Back
Top Bottom