beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,880
- 6,368
Taifa hilo limerekodi zaidi ya vifo 600,000 vya COVID19, ikiwa ni Nchi ya pili duniani kufikisha idadi hiyo baada ya Marekani ambayo imerekodi vifo 672,196 tangu kuanza kwa mlipuko
Brazil imerekodi visa vipya 18,172 na vifo 615 kwa mujibu wa takwimu zilizotolewa na Wizara ya Afya
=======
Brazil has registered more than 600,000 deaths due to COVID-19, the Health Ministry said on Friday, making it the second country in the world to pass that milestone after the United States.
Brazil registered 18,172 new cases of coronavirus and 615 additional deaths on Friday, according to ministry data.
Source: Reuters
Brazil imerekodi visa vipya 18,172 na vifo 615 kwa mujibu wa takwimu zilizotolewa na Wizara ya Afya
=======
Brazil has registered more than 600,000 deaths due to COVID-19, the Health Ministry said on Friday, making it the second country in the world to pass that milestone after the United States.
Brazil registered 18,172 new cases of coronavirus and 615 additional deaths on Friday, according to ministry data.
Source: Reuters