Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Kati ya sehemu ambayo kusema kweli ni rahisi sana kufa baada ya kupata ajali basi tuseme ni nchini Tanzania.
Kwa uzoefu wangu mara nyingi ajali inapotokea nchini Tanzania ni mara chache sana watu wanashughulikia kuwakimbiza majeruhi hospitali kwa haraka. Watu huwa wanawatoa majeruhi na kuwalaza pembeni tu ya eneo la ajali na majeruhi hawa wamekuwa wanakaa muda mrefu bila kupata huduma ya kwanza hivyo kufariki!
Kituko zaidi ni ni polisi ambao hata wao wanapofikaga katika maeneo ya ajali hawahangaiki kuanza kusimamisha magari na kuomba kuwakimbiza majeruhi hospitali. Wanahangaikaga kuanza kupima na kupoteza muda tu!
Kuna haja ya mafunzo makubwa kufanywa kwa polisi na raia kuhusu huduma za uokozi na namna ya kuwahudumia kwa haraka au kuwapa msaada wa haraka majeruhi wa ajali ikiwemo kuwafikisha hospitalini.
Kwa uzoefu wangu mara nyingi ajali inapotokea nchini Tanzania ni mara chache sana watu wanashughulikia kuwakimbiza majeruhi hospitali kwa haraka. Watu huwa wanawatoa majeruhi na kuwalaza pembeni tu ya eneo la ajali na majeruhi hawa wamekuwa wanakaa muda mrefu bila kupata huduma ya kwanza hivyo kufariki!
Kituko zaidi ni ni polisi ambao hata wao wanapofikaga katika maeneo ya ajali hawahangaiki kuanza kusimamisha magari na kuomba kuwakimbiza majeruhi hospitali. Wanahangaikaga kuanza kupima na kupoteza muda tu!
Kuna haja ya mafunzo makubwa kufanywa kwa polisi na raia kuhusu huduma za uokozi na namna ya kuwahudumia kwa haraka au kuwapa msaada wa haraka majeruhi wa ajali ikiwemo kuwafikisha hospitalini.