Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao watu mashuhuri na wasanii ni wachache kati ya wanaokufa kwa sababu wanajulikana, kuna watu wengi wamekufa siku ya leo tu na hatuwafahamu. Maombi yawe kwa watu wote kama taifa.Jamani kunahitajika maombi kama taifa kuombea wasanii na watu mashuhuri nchini dhidi ya roho ya kifo inayoendelea kutuandama.
Vilevile na majanga yote kwa nchi yetu
Hebu oneni wasanii tuliowapoteza mwaka huu na bado haujaisha
Usiogope kifo mkuu, ogopa sana dhambi. Kufa siyo mwisho wa kila kitu, bali kufa na dhambi ndiyo mwisho wa kila kitu.Jamani kunahitajika maombi kama taifa kuombea wasanii na watu mashuhuri nchini dhidi ya roho ya kifo inayoendelea kutuandama.
Vilevile na majanga yote kwa nchi yetu
Hebu oneni wasanii tuliowapoteza mwaka huu na bado haujaisha
Dah! Sijakuona muda mrefuWatu maarufu nao binadamu kama sie tusio maarufu,mie ntaombea familia yangu na taifa kwa ujumla kwenye maombi hakunaga ubaguzi.
Nilikua napita tu[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Asante sana kwa hili jibu,sina haja tena ya kucoment.Hao watu mashuhuri na wasanii ni wachache kati ya wanaokufa kwa sababu wanajulikana, kuna watu wengi wamekufa siku ya leo tu na hatuwafahamu. Maombi yawe kwa watu wote kama taifa.
Dah! Sijakuona muda mrefu
UniombeeNa wasio maarufu atawaombea nani