Vifungo

tony kasanga

Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
5
Reaction score
1
Samahani wana jf ninaswali kuna ukweli kuwa mtu akihukumiwa miaka kadhaa kwenda jela kiuhalisia huwa ni nusu ya hyo miaka
Mfano hukumu miaka 30 mfungwa atakaa 15 wakihesabu usiku na mchana??
 
Akihukumiwa miaka 30 atakaa miaka 20, unaondolewa theluthi moja, yaani moja ya tatu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…