Angalia maneno yako, kama dhana ingekuwa hiyo basi wasingeweka vifurushi vya wiki. Kwanini ununue cha wiki wakati hela unayo?? Azam wanafahamu kuwa kuna watu wasiokuwa na hela za kwezi mzima ndiyo maana wakawawekea malipo ya wiki. Kufanya hivyo ni kuwatambua wale wanaodunduliza, sasa inakuwaje yule anayedunduliza alipe zaidi?, hapo ndipo hoja ilipo.Kama mtu anamiliki dishi la Azam,huyu so maskini.
Na Kama unashindwa kulipa kifurushi Cha Bei ya 28,000/-wewe hukufikia kumiliki king'amuzi.
Acheni mambo ya kuiga,au kwakuwa mtaa mzima wamefunga madish ukaona na wewe usipitwe,
Tafuta pesa Kwanza vitu vizuri vina gharama zake,Kuna watu wamefunga ving'amuzi zaidi ya vitatu aina tofauti tofauti,
Non senseMkuu, hivi unamjua mtu masikini? Kuna masikini anayeweza kumudu kumiliki TV?
Wafanyabiashara wanafahamu kuwa:Non sense
Lakini hoja ya mleta mada ni kutosaidia masikini,Wafanyabiashara wanafahamu kuwa:
1. Maskini ni wengi kuliko matajiri, hivyo watakusanya hela nyingi kutoka kwa maskini zaidi
2. Maskini wanapenda starehe kuliko matajiri, hivyo wanatumia mwanya huo
3. Maskini hapigi hesabu kwenye matumizi yake, wanatumia mwanya huo kujipatia pesa kutoka kwao
4. Kuna house girls na mama wa nyumbani wengi wanaoangalia sinema zetu, ndiyo maana hata ukiwa na 3000 utapata sinema zetu kwa kuwalenga wao.
Kenchi, mabati, milango na madirisha ya matofali!!? Hujui chochote kuhusu ujenzi. Kupanga tofali ni robo tu ya ujenzi, acha tulipie ving'amuzi.Kule kijijini tofali la kujengea la kuchoma ni sh. 90 hadi 100, maskini anaenunua kifurush cha sh. 9,000 kwa wiki ni sawa na angenunua matoli 13 kila siku sawa na matofali 390 kwa mwezi ambayo ni sawa na matofali ya kuchoma 4,680 kwa mwaka ambayo yangekamilisha ujenzi wa vyumba vyake 3 vya kulala na choo na stoo. Lakini maskini halijui hili na bado ananunua vifurushi vya simu vya halichachi kila siku kuongea yasiyokuwa na tija kwake.
Matofali 4,680 x sh 100 = Tsh. 468,000. Hizi kwa kijijini zinatosha kabisa kunua mbao zote za kupaulia vyumba vitatu na fundi kwa mwaka wa pili baada ya kununua matofali, mwaka watatu unanunu mabati na mlango wa mbele na nyuma tayari unahamia kwenye nyumba yako ya kisasa ndani ya miaka 3 ya kudunduliza kwa kubana matumizi ya king'amuzi tu . Kaka maisha ni hesabu na uchumi ni matumizi yako sio makusanyo.Kenchi, mabati, milango na madirisha ya matofali!!? Hujui chochote kuhusu ujenzi. Kupanga tofali ni robo tu ya ujenzi, acha tulipie ving'amuzi.
Non sense
Mkuu hyo yako CHA MTOTO...Mimi nilishamla MAMA MKWE WNGU....ni mtamu hatari...
Umeamua kuingia maktaba,,mkuuUmeshawahi kumla shemeji yako?
Mwaka 2013, tarehe 8 mwezi wa pili ndio siku niliyomla mke wa kaka yangu kabisa. Sitakuja kuisahau. Kaka yangu ni mtu wa safari sana, muda mwingi alikuwa hashindi nyumbani. Kipindi hicho nimemaliza chuo nipo natafuta kazi hivyo muda mwingi nilikuwa nashinda nyumbani mimi na shemeji tu. Kipindi...www.jamiiforums.com
Concept ni ileile ya wizi kwa maskani ambao ndo wengi kwwnue jamii kwa kutumia udhaifu wao.Hata kwenye biashara ukitaka faida chukua mzigo wa jumla reja reja zinakata. Hata voda tu vifurushi vya SMS kwa wiki ni buku lakini kwa mwezi ni 2000 sasa utaamua kuchukua kifurushi cha mwezi au cha wiki wiki.
Kule startimes kifurushi cha juu ni 36000 ambacho kama ukiamua kulipa kwa siku moja ni 3600 sasa chaguo ni lako kama utalipa kwa siku siku ndani ya mwezi unajikuta umelipa zaidi ya laki.