Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,515
- 6,230
Mimi hao ndio kabisa wananiibia, bando linaisha fasta na wanatuma text nimemaliza lkn nikicheki kwenye data usage na kupiga mahesabu nakuta karibia Mb 200 kwny Gb 2 hazijatumika.
Mapema tu... 1gb ndani ya masaa kadhaaHaloteli pia vinaisha sana
Mapema tu... 1gb ndani ya masaa kadhaa
Ni kweli.. ila ni ngumu,kwani wewe ukisusa wengine wanajiunga.Ingelikuwa inawezekana nchi nzima 2nasusia mitandao yote kwa muda wa wiki moja
Mapema tu... 1gb ndani ya masaa kadhaa
Leo nimejiunga Halotel kuwapa nafasi ya mwisho kama wakiendelea na uhuni wao kama wasiku zote nawasusa Moja kwa mojaIngelikuwa inawezekana nchi nzima 2nasusia mitandao yote kwa muda wa wiki moja
Leo nimejiunga Halotel kuwapa nafasi ya mwisho kama wakiendelea na uhuni wao kama wasiku zote nawasusa Moja kwa moja
Hapo sasa,,,Ni kweli.. ila ni ngumu,kwani wewe ukisusa wengine wanajiunga.
Huwajui halotel wewe
Hilo nalo linakera sana. Ukizijumlisha hizo kwa mwezi unapata hata 1GbTigo ukibakiza mb 30 jua kabsa apo hutoweza fanya chochote....sijui hvyo vi mb wanapeleka wapi
Mimi nilidhani niko peke yangu ambaye naona Halotel wanatuibia kwny vifurushi vyao vya intaneti Jf nimewakataa pia ,vile vile nimemkuta mjuba mwingine Youtube huko wkt nacheki video naye analalama nikacheka mwenyeweUsiwasingizie Halotel aisee. Kwa sasa Halotel ndo wapo vizuri