Vifurushi vya Tigo vurugu tupu

Vifurushi vya Tigo vurugu tupu

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
44,629
Reaction score
83,056
1. Kila laini ina menu tofauti. Mfano Saizi yako ukiwa say na laini mbili za Tigo, kila laini ina menu tofauti ya size yako interms of every thing...dakika, MB, etc etc.
2. Laini ingine saizi yako ina 50 min tigo tigo, 50 mitandao yote, 50 msm/24/1,000

Na vurugu nyingine nyingi.

Takataka tupu
 
1. Kila laini ina menu tofauti. Mfano Saizi yako ukiwa say na laini mbili za Tigo, kila laini ina menu tofauti ya size yako interms of every thing...dakika, MB, etc etc.
2. Laini ingine saizi yako ina 50 min tigo tigo, 50 mitandao yote, 50 msm/24/1,000

Na vurugu nyingine nyingi.

Takataka tupu
Mitandao ya Halotel, Vodacom na tigo ni vurugu tupu. wakiona umetumia vifurushi vyao frequently basi umekwisha menyu inapindishwa gharama.
 
Offer za vifurushi inategemeana na line yako Ina miaka mingapi tangu usajili. Line Mpya ukisajili Leo unapata MB nyingi kuliko line kongwe
Ngoja nichonge line nyingine leo! nione ukweli wa hoja yako. asante for taarifa
 
Hao jamaa huwa wanatazama matumizi yako, kule unapoonekana una matumizi makubwa zaidi ndio wanapandisha huko huko, ukiwa na smartphone watakuumiza kwenye mb, ukiwa na kitochi, jiandae kuumia kwenye dakika na sms.
 
Back
Top Bottom