KERO Vifusi barabara ya Sogea Machinjioni (Songwe) vinaleta usumbufu kwa watumiaji wa barabara hiyo

KERO Vifusi barabara ya Sogea Machinjioni (Songwe) vinaleta usumbufu kwa watumiaji wa barabara hiyo

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

SAUTIYANGU

New Member
Joined
Oct 23, 2024
Posts
4
Reaction score
2
VIFUSI VYA BARABARA VYAGEUKA KERO.

Vifusi vilivyowekwa kwa muda mrefu bila kusambazwa katika barabara ya Sogea Machinjioni vimegeuka kero na usumbufu kwa watumiaji wa barabara hiyo na kuiomba serikali kusambaza vifusi hivyo na kuendelea na ujenzi wa barabara hiyo.

Kusimama kwa ujenzi wa barabara kunasababisha KERO na usumbufu kwa wananchi kwani barabara hiyo imekuwa finyu.

20241023_104250.jpg
Pia soma ~ Vifusi vilivyokuwa kero Barabara ya Sogea-Machinjioni (Tunduma) vyasambazwa
 
Masuala ya kuwekeana vifusi barabarani alafu hawatengenezi sio poa

Mkuu hiyo barabara iko mkoani gani?
 
Nahisi hii ni Tunduma Songwe huko hatusambazi vifusi hivi mpka mkome, machadema nyie,. Siko sirias jamaa unisamehe
 
Back
Top Bottom