•Elimu - Binti mwenye elimu ya juu hupewa mahari kubwa.
•Umri - Binti mdogo chini ya 25 mahali yake huwa kubwa tofauti na binti wa zaidi ya miaka30.
•Tabia na malezi ya binti- Tabia nzuri na maadili huongeza thamani.
•Hadhi ya familia - Familia yenye hadhi ya juu inaweza kudai mahari kubwa tofauti na familia za hali ya mtu.
•Kipato cha kijana - Mahari huendana na uwezo wa kifedha wa anayeoa.
•Utamaduni wa kabila - Kila kabila lina viwango vyake.
•Makubaliano ya familia - Familia zote mbili hujadiliana na kukubaliana ili kusaidiana mara nyingine.
•Hali ya binti - Ikiwa binti ni bikira mahali itakua juu tofauti na binti aliyepitiwa tayari au binti mwenye watoto hupunguza kiwango cha mahari.
•Dini - Tamaduni za kiislamu, waisilamu waaminifu, binti zao hujipangia mahali mwenyewe.
Kuna yule jamaa Dubai alipangiwaga Followers Milioni moja Tiktok 🤣🤣🤣