Dabil
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 6,823
- 15,293
Ni vigezo gani vimetumika kocha wa Azam kuwa kocha bora wa mwezi november na siyo kocha wa Simba?
Mechi 3 za mwezi november Azam wameshinda mechi 3,
Azam 1 Kagera Sugar 0
Azam 2 Singida Big Star 1
Yanga 0 Azam 1.
Mechi za Simba
Pamba 0 Simba 1
Simba 4 KMC 0
Mashujaa 0 Simba 1
Azam mechi 3 kafunga magoli 4 kafungwa goli 1 na mechi moja ugenini
Simba mechi 3 kafunga magoli 6 na hajafungwa goli na mechi 2 za ugenini.
Kwanini kocha wa Azam awe kocha bora wa mwezi novermber?
==
Mechi 3 za mwezi november Azam wameshinda mechi 3,
Azam 1 Kagera Sugar 0
Azam 2 Singida Big Star 1
Yanga 0 Azam 1.
Mechi za Simba
Pamba 0 Simba 1
Simba 4 KMC 0
Mashujaa 0 Simba 1
Azam mechi 3 kafunga magoli 4 kafungwa goli 1 na mechi moja ugenini
Simba mechi 3 kafunga magoli 6 na hajafungwa goli na mechi 2 za ugenini.
Kwanini kocha wa Azam awe kocha bora wa mwezi novermber?
==