Vigezo na masharti kuzingatiwa!

Vigezo na masharti kuzingatiwa!

Kama we ni mwanaume mweupe, una miaka 32_ 35 una kazi ya kuajiliwa, huna ukimwi,Wala UTI sugu ,huna familia upo mkoa wa Ruvuma nicheki inbox tuyajenge.karibu nimechoka kuwa single,na uwe mu hand some.
Upo tayari kuishi Maposeni?

Kila kigezo ninacho
 
Back
Top Bottom