cold water
JF-Expert Member
- Oct 6, 2021
- 238
- 954
Mbona kama mwandiko wa kiume huu!!Kama we ni mwanaume mweupe, una miaka 32_ 35 una kazi ya kuajiliwa,huna familia upo mkoa wa Ruvuma nicheki inbox tuyajenge.karibu nimechoka kuwa single
Ruvuma eneo gani?Kama we ni mwanaume mweupe, una miaka 32_ 35 una kazi ya kuajiliwa, huna ukimwi,Wala UTI sugu ,huna familia upo mkoa wa Ruvuma nicheki inbox tuyajenge.karibu nimechoka kuwa single,na uwe mu hand some.
Ahahahahaaa..!!! Mimi nusubiria location mtu atoke Lizaboni amfuateNilijua tu hii baridi ya siku mbili hizi itapita na watu,.
Anyway, tuma picha yako kwanza niko uncle wangu hapa makambi amekaa kaa tu anaweza kukufaa
Malaya Hana rangi lakini🤣🤣🤣Unaonekana malay sia
Upo tayari kuishi Maposeni?Kama we ni mwanaume mweupe, una miaka 32_ 35 una kazi ya kuajiliwa, huna ukimwi,Wala UTI sugu ,huna familia upo mkoa wa Ruvuma nicheki inbox tuyajenge.karibu nimechoka kuwa single,na uwe mu hand some.
Achana na huyo njoo PM tubonge...Malaya Hana rangi lakini🤣🤣🤣
Kwani kasema yeye jinsia gani??Mbona kama mwandiko wa kiume huu!!
Aseme tu mbona watu wapo,. Tunamfikishia hadi mlangoniAhahahahaaa..!!! Mimi nusbiria location mtu atoke Lizaboni amfuate
Na vinaweza fikia ile ya BORA ANAPUMUAHadi unafika kuomba huku huko uliko hawajakuona tuu🤔 Baada ya miaka miwili vigezo vitapungua zaidi endelea kulala mwenyewe kama panga la buchani