Vigezo vinavyohitajika ili kuanzisha Duka la Dawa

Vigezo vinavyohitajika ili kuanzisha Duka la Dawa

omoghaka

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2012
Posts
293
Reaction score
166
Ndugu zangu,

Nafikiria kufungua duka la Dawa.Naomba anayejua Vigezo na Vibali vinavyohitajika anifahamishe. Vilevile naomba kufahamishwa na Dawa za Msingi na zinazouzika haraka.

Duka la Dawa ninalohitaji ni la Mtaji wa Milioni Kumi.
 
Back
Top Bottom