sarah mpegwa
Member
- Sep 2, 2011
- 20
- 0
Pole sana Sarah, naona freshers wengi kigezo cha uzoefu kinawakoroga sana. Hata hivyo sio kweli kwamba kila nafasi inayotangazwa inahitaji uzoefu. Mfano serikalini employment policy inatoa mwanya kwa freshers kuingia bila uzoefu kwenye posts zote za kuingilia (entry posts) mfano Economist II, Statistian II, Public Relation Officer II, Administrative Officer II n.k hizi hazihitaji uzoefu ila taaluma katika fani husika. So unatakiwa tu kupeleka Transcript au cheti chako kama ni mwaka mmoja baada ya Graduation na vyeti vingine. Kwa kuwa obvious mtakuwa applicants wengi hamuwezi wote kuwa shortlisted kwenye interview bali wale wenye sifa za juu zaidi. Kwa kawaida kila nafasi moja inashindaniwa na watu watatu (1:3).tusaidiane kujadili hili naona kama haliko sawa mara zote nionapo post mbalimbali za ajiira kuna hii nimeiona ukisoma sana kwenye experience ya anaeapply lazima awe na experience kuanzia 3yrs!!!vp sasa kwa watu wanaotoka direct from school ina maana hawana chanc?hata kama qualification nyingne wako frsh?alaf najiuliza ndo sababu ya watu weng kukosa ajira kisa una exprnc??jamani mnaonaje wanajf?