Mara nyingi tunashindwa kutifautisha marafiki wa kweli na wasio wa kweli ndo mana MTU analalamika ametendwa na rafiki wa karibu. Ili umjue rafiki wa kweli unatakiwa uangalie vigezo vifuatavyo: Malengo:mnatakiwa mwe na malengo/mwelekeo unaofanana. 2.Angalia rafiki anayekustrenght unaweza ukawa na rafiki alafu hakusaidii kwa chochote
3.Anaefurahia mafanikio yako kuna marafiki ata ukifanya vzr hawez kukusifia ata cku moja na ukikosea hawez akakukosoa atakusifia uendelee kupotea
4 Anaekuhamasisha kufanya zaidi au kukusupport kwenye kila hali
Ni mtazamo tu