Vigezo vya kuchaguliwa Kidato V kwa mvulana

Vigezo vya kuchaguliwa Kidato V kwa mvulana

young toure

Member
Joined
May 18, 2015
Posts
15
Reaction score
0
Habari zenu wana JF. Nilikua nahitaji kujua ni vigezo gani vitamuwezesha mtu kuendelea na kidato cha 5. Hivyo pls naomben msaada wenu.
 
ndugu,si kufaulu O-level!!..au kuna kitu kimebadilika toka nimalize shule
 
Ukiwa na C 3 aijalish zmebalanc comb au la prvate unaxoma bt kwa gvmnt hops ad zbalanc & lazma ue na credt>
 
Hapa nachokiona ni suala la serikali kukurupuka kubadili mifumo bila kutoa elimu ya kutosha. Aisee mimi nilisoma kitambo sana hii habari ya GPA haikuwa ikitumika kwa hiyo sina msaada kwenye hili
 
Tatizo n kwamba serikal yetu inakurupuka, hivyo mambo yanaweza badilka wakat wowote ila ninavyofahamu kwa mtu mwenye credit aliyebalance comb yaani c flat na kuendelea ktk masomo ya cob
 
Serikal Pasua Kichwaa,,, Ila Nenda Moe.Go.tz Wameweka Vgezo Hvyo Kwenye Pdf Utajione Mwenyewe
 
Back
Top Bottom