Vigezo vya kupata leseni class c1, c2 au c3

Vigezo vya kupata leseni class c1, c2 au c3

wa mchongo

New Member
Joined
Jun 14, 2024
Posts
3
Reaction score
1
Kama tittle inavyoeleza mimi sijasoma hata basic driving ila naomba msaada kama nijuzwe toka kwa wanaojua kama kuna uwezekano wa kusoma na kupata madaraja ya c1, c2 au c3 bila kupitia hiyo basic driving? Hii ni kwa manufaa yangu binafsi pia kwa wenzangu wasiojua kama mm.

NAOMBA KUWASILISHA🙏
 
Kama tittle inavyoeleza mimi sijasoma hata basic driving ila naomba msaada kama nijuzwe toka kwa wanaojua kama kuna uwezekano wa kusoma na kupata madaraja ya c1, c2 au c3 bila kupitia hiyo basic driving? Hii ni kwa manufaa yangu binafsi pia kwa wenzangu wasiojua kama mm, NAOMBA KUWASILISHA🙏
Hela ipo mkuu?
 
Kama tittle inavyoeleza mimi sijasoma hata basic driving ila naomba msaada kama nijuzwe toka kwa wanaojua kama kuna uwezekano wa kusoma na kupata madaraja ya c1, c2 au c3 bila kupitia hiyo basic driving? Hii ni kwa manufaa yangu binafsi pia kwa wenzangu wasiojua kama mm, NAOMBA KUWASILISHA🙏
Msaada please! 🙏🙏
 
Kama tittle inavyoeleza mimi sijasoma hata basic driving ila naomba msaada kama nijuzwe toka kwa wanaojua kama kuna uwezekano wa kusoma na kupata madaraja ya c1, c2 au c3 bila kupitia hiyo basic driving? Hii ni kwa manufaa yangu binafsi pia kwa wenzangu wasiojua kama mm.

NAOMBA KUWASILISHA[emoji120]
Huwezi kupata bila kusoma Basic Driving Course iliyothibitishwa na jeshi la polisi kitengo cha usalama barabarani

na siku hizi kama unaenda kuRenew leseni watasema onyesha cheti,.kama huna byebye

NB: usipende shortcut
 
Kama tittle inavyoeleza mimi sijasoma hata basic driving ila naomba msaada kama nijuzwe toka kwa wanaojua kama kuna uwezekano wa kusoma na kupata madaraja ya c1, c2 au c3 bila kupitia hiyo basic driving? Hii ni kwa manufaa yangu binafsi pia kwa wenzangu wasiojua kama mm.

NAOMBA KUWASILISHA🙏
Kigezo cha kwanza Uwe na Pesa..
Kigezo cha Pili baada ya Kurenew...
Hakikisha Unasoma Hata kwa Kuzuga maana usiposoma Utagota kwenye Kurenew
 
Back
Top Bottom