A Abeid nassib Member Joined Nov 16, 2015 Posts 6 Reaction score 0 Dec 7, 2015 #1 Kwakweli aliyeweka kigezo cha urembo au kuwa handsame ni urefu aliwakosea watu wengi sana duniani isingelikuwa kigezo hiki ni matumaini mtu kama Lulu Michael angekuwa miss TZ leo.
Kwakweli aliyeweka kigezo cha urembo au kuwa handsame ni urefu aliwakosea watu wengi sana duniani isingelikuwa kigezo hiki ni matumaini mtu kama Lulu Michael angekuwa miss TZ leo.
love more than100 JF-Expert Member Joined Jan 27, 2014 Posts 2,061 Reaction score 715 Feb 21, 2016 #2 Kila kitu kina vigezo vyako... kuna mrembo wa kijamii kama Lulu na kuna wa jukwaani kama Hoyce Temu