Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu REALITY kwanza habari za masiku, sikuoni tangia siku ile kwenye Thread ya lala1.
Back to topic
Unapoongelea uzuri au urembo,bigwig vipo kwa anayeona, sababu siye tunatofautiana vigezo vya muonekano na kukubali kwamba fulani ni mzuri. Ndo maana waswahili wakasema UNACHOOONA WEWE CHA NINI WENGINE WANAKILILIA HAWAKIPATI.
Sizioni sababu za kiujumla na ukizingatia baada ya haya mabadiliko ya Dunia kumekuwa na UFAKE mwingi hadi kuvuruga ile REALITY.
uzuri ni objective ila urembo ni personel
uwe popote sawa umejuaje ule ndo uzuri?
na hilo ndo jibu straight ndani ya link
Nini Tofauti ya UZURI na UREMBO??!!hi wadau naomba kuuliza vigezo vya uzuri au urembo ni vipi
cnt go far for nah reason
Hi
Wadau naomba kuuliza vigezo vya uzuri au urembo ni vipi na watu wametumia misingi ,taswira na mtazamo upi kuweza kuoanisha uzuri wa mtu.
Facts with no leakage ndo hoja reasonable
reality