Habari,napenda kufahamiashwa vigimbi chanzo chake ni nini? Ni jinsi gani mtu anaweza kufanya kuviondoa? Msaada tafadhali maana vinaninyima raha nashindwa kuvaa nguo ya katamikono. Je kuna dawa naweza kutumia. Asante..
Wasiliana na Evelyn Salt, hakosi cha kukuelezea
Punguza mazoezi makali, vyako ni kama vya Serena???
Ha ha haaa,ndio ila mi sifanyagi mazoezi kabisa nashangaa nna vigimbi.
Jamani hv kweli kabisa hakuna means ya kuvitoa? Au hata basi kuvipunguza?? Am feeling weak inside me.
mkuu vigimbi husababishwa na UJEBA na inaonekana wewe ni kijeba ndio maana umeota vigimbi. hivyo havina dawa zaidi ya kuvikubali tu mkuu wangu.