Tetesi: Vigogo 17 waaandaa mkakati wa kujiunga upinzani

Tetesi: Vigogo 17 waaandaa mkakati wa kujiunga upinzani

CalvinKimaro

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2017
Posts
245
Reaction score
314
Duru za ndani ya chama kikuu Cha upinzani zinadokeza kuwa hadi sasa vigogo kumi na Saba wa chama Tawala wameonyesha nia ya kuachana na chama hicho na kujiunga upinzani.

Inaelezwa kuwa kwa vipindi tofauti Kati ya Mwezi April,2018 Hadi Oct, 2018 wanachama mbalimbali wa chama Cha mapinduzi walifanya mazungumzo ya Siri ikiwa ni pamoja na kuomba kupokelewa pale muda utakapo wadia.

Katika kipindi hicho pia imebainika kuwepo kwa mkakati wa kumshawishi mmoja Kati ya viongozi wa zaman wa CCM kurejea ccm japo washawishi hao bado hawajafanikiwa kutimiza lengo lao. Haya yanajiri muda mfupi baada ya baadhi ya wabunge wa upinzania kujiunga na CCM na kurejeshewa Ubunge wao.
 
Wakitokaa ndio imetokaa wapambane humo humo jiwe ndio atoke si wao chama hicho tumekipigania miaka haiwezekani kuja mtu mmoja ambae hajawai shika hata nafasi ya BALOZI WA NYUMBA 10 akaja kutuvurugia
 
Kimbunga cha lowassa kuondoka na vigogo kedekede wa chama.na serikali.hahaaa hahaaa.teteh teteh.
 
Duru za ndani ya chama kikuu Cha upinzani zinadokeza kuwa hadi sasa vigogo kumi na Saba wa chama Tawala wameonyesha nia ya kuachana na chama hicho na kujiunga upinzani.

Inaelezwa kuwa kwa vipindi tofauti Kati ya Mwezi April,2018 Hadi Oct, 2018 wanachama mbalimbali wa chama Cha mapinduzi walifanya mazungumzo ya Siri ikiwa ni pamoja na kuomba kupokelewa pale muda utakapo wadia.

Katika kipindi hicho pia imebainika kuwepo kwa mkakati wa kumshawishi mmoja Kati ya viongozi wa zaman wa CCM kurejea ccm japo washawishi hao bado hawajafanikiwa kutimiza lengo lao. Haya yanajiri muda mfupi baada ya baadhi ya wabunge wa upinzania kujiunga na CCM na kurejeshewa Ubunge wao.
Hata wakijiunga upinzani hamna lolote watakalolifanyaa zaidi zaidiii kuja kuangalia upinzani kuna nini wakimaliza wanarudi ccm
 
Duru za ndani ya chama kikuu Cha upinzani zinadokeza kuwa hadi sasa vigogo kumi na Saba wa chama Tawala wameonyesha nia ya kuachana na chama hicho na kujiunga upinzani.

Inaelezwa kuwa kwa vipindi tofauti Kati ya Mwezi April,2018 Hadi Oct, 2018 wanachama mbalimbali wa chama Cha mapinduzi walifanya mazungumzo ya Siri ikiwa ni pamoja na kuomba kupokelewa pale muda utakapo wadia.

Katika kipindi hicho pia imebainika kuwepo kwa mkakati wa kumshawishi mmoja Kati ya viongozi wa zaman wa CCM kurejea ccm japo washawishi hao bado hawajafanikiwa kutimiza lengo lao. Haya yanajiri muda mfupi baada ya baadhi ya wabunge wa upinzania kujiunga na CCM na kurejeshewa Ubunge wao.
Ukiumwa na nyoka hata unyasi ukikugusa utaruka ukidhani nyoka! Mikakati ya chama tawala ni kutaka wawe wao wengi bungeni ni dhaifu,hasa ktk majimbo ambayo hawakubaliki watataka mamluki wagombee! Makosa yaliyofanywa na upinzani mwaka 2015 yanaligharimu taifa kwa sasa kwa chaguzi ndogo..ila watawala wamebuni mbinu ingine...wabunge kupita bila kupingwa! Viongozi wa upinzani wawe makini na wahamiaji hasa ktk hìki kipindi kinachoelekea uchaguzi!
 
Wasepe tu ila Magufuli kashashinda ... na tutampigia kura
 
Back
Top Bottom