Vigogo hawa washirika wa Hezbollah hawajulikani walipo

Vigogo hawa washirika wa Hezbollah hawajulikani walipo

Lupweko

JF-Expert Member
Joined
Mar 26, 2009
Posts
23,566
Reaction score
24,891
1728205369613.png


1728205410574.png
 
Yalisemwa kuwa wametoroshewa sehemu salama zenye ulinzi mkali
 
Uongozi mzima wa Magaidi ya Hezbollah umeuwawa.
Sasa hivi anayechochea hii Vita ni Ayatolah kwasababu kama Hezbollah wangekuwa peke yao wangasha surrender
Marhabaa!Na InshaAllah tutayashinda mazayuni. Jamaa mjinga sana.Hivi,kile kilemba huwa anajifunga na kufunika masikio ubongo usianguke?Ni swali hilo huwa ananiuliza mtoto wangu anayesoma darasa la pili Chemchem shule ya msingi.
 
Hawa watakuwa wamekuwa Vaporised na zile Bunker Busters za juzi usiku.

Walikuwa wanabipu Israeli ikawapigia.
Wakiristo wa jf kwa propaganda. Ndio hizo hizo propaganda zilizofanywa mpaka Wakiristo wa chini wanaamini Yesu alisulubiwa
 
Uongozi mzima wa Magaidi ya Hezbollah umeuwawa.
Sasa hivi anayechochea hii Vita ni Ayatolah kwasababu kama Hezbollah wangekuwa peke yao wangasha surrender
Unawajua Hezbollah wewe? Kama hamas na kuzingirwa kote hawaja surrender ije kua hizbo? Huu moto zayuni anao kama Beirut hapakaliki North Israeli hapatakalika
 
Unawajua Hezbollah wewe? Kama hamas na kuzingirwa kote hawaja surrender ije kua hizbo? Huu moto zayuni anao kama Beirut hapakaliki North Israeli hapatakalika
IDF wanaenda hadi Litani River hata mjiunge wote hamuwaezi kuwazuia.
 
Back
Top Bottom