Vigogo wahusishwa na kufyatua Noti bandia

Hao vigogo ni akina nani? Kune mtu mwenye majina tafadhali? Amwage jamvini
 
Kuna haja ya watu kwenda makanisani na misikitini ili tuombee nchi hii, manake inaonekana kama haina mwenyewe na wale tunaowategemea wamekuwa sehemu ya uozo Mungu ibariki Tanzania
 
Usalama wa Taifa my ass.. What are they doing? Inflation imefika 12%...This govt has really EFFD up.

They are now playing new role. Make sure CCM wins elections. Mambo ya msingi katika usalama wa raia na maendeleo yao kwao hawa si priority, priority ni kulinda viongozi wabinafsi ili waendelee kuwa madarakani kwa vyovyote. They need to change now na kufanya kazi wanayotakiwa kuifanya kwa mujibu wa uwepo wao.
 
Tumekwisha? No! Tulishakwisha.

Hata niitwe mbaguzi lazima nisema kwamba ktk nchi yoyote ukiwaona wahindi wanastawi kwa wingi kama hapa kwetu, basi fahamu inakwisha. Maana yake inaongozwa na corruption.

Unapowaingiza kushika uchumi wa nchi, unawaingiza ktk siasa (maamuzi ya nchi), nini unategemea ktk nchi? Bahati mbaya hawana social interactions na sisi ili tufahamu upuuzi wao. Wachache wanaowasiliana nao, ni kwa ajili ya pesa chafu kama hizo tu basi! Hata sitting room zao hawajawahi kufika.

U-Mafia huo huo hufanywa pia na Korea ya Kaskazini ili kupambana na vikwazo vya US na wanafanikiwa sana!! Tofauti, Korea ni Government deal. Eti hapa kwetu ni deal ya chama tawala na akina fulani! Banana republic.
 



Hiyo Bold juu inaeleza mengi ambayo tunajidai kufumbia macho. Hebu tuguess ni nani hao? Bila shaka mafisadi sio wahusika kutokana na maelezo hayo. Labda ni wale wa upande wa pili (yaani wapiganaji)
 
kweli mwalimu na hivi walipoingiza hizi trilioni moja nyingine katika stimulus package yao tuliwahoji hapa.. sasa tunavuna tunashangaa mabua?

Mkuu,

Stimulus package ingesabbabisha inflation ingekua ni kama kazi na dawa.Kwani stimulus package lengo lake ni kushtua uchumi,hiyo ni mbinu nzuri ya kutanua soko,ajira na kuwapa uwezo wa kununua(purchasing power) raia ili viwanda viendelee kuzalisha.

Government expenditure ya aina hii ni nzuri kama iko well planned.Labda kuhoji vipaumbele kwa mapana zaidi maanake ilionekana kama kulikuwa na kufuata mkumbo kwa aina flani.Na inabidi hata sasa hivi tuhoji matumizi na manufaa yake,usishangae hata kwenye bajeti ya mwaka huu wakafanya yale yaliyozoeleka ya kufunika kombe kimazingaombwe
 
-Siku hizi hadi Us Dollars,EURO zinatengenezwa na kusambazwa.Zikiingizwa bongo watu wengi watalizwa ukizingatia kwamba hazijazoeleka sana

-Yale maduka ya kubadilishia hela ambayo hayako active kiteknolojia watatumika kama agents wa huu umafia

-Usijekuta hata hao vigogo wanashirikiana na maofisa usalama wa taifa letu na hata maofisa usalama wa nchi jirani ambao wako sponserd na gvnmt zao.i'm just wondering!
 


Hakuna Afisa usalama mkuu au mkubwa kuliko amiri jeshi mkuu, yaani Rais wa nchi. Hebu angalia, tunaye afisa usalama wa nchi hapa kwetu?
 
Siku hizi idara ya inteligency ni hovyo sana vitu hivi vyote vinatakiwa vinaziwa mapema visije vika tikisa Taifa mbaya zaidi nchi ndio imeshikwa na mafisadi na hii ni uzembee wa viongozi wetu wa kuingiza uongozi na Biashara, Jamani tunaelekea wapi sasa.Mungu bariki Tanzania
 
Hao vigogo ni akina nani? Kune mtu mwenye majina tafadhali? Amwage jamvini

mimi namtaja rostam azizi ... it has to be him. Kuanzia biashara ya utumwa hadi ya wizi wa mabilioni ya watanzania kupitia dowans. The guy is everywhere.
 
kuongezea kitafunwa hapo juu ^^^^^^ .. hadi kwenye uchaguzi wa kyela koh koh koh koh .. the guy is everywhere.
 
Usalama wa taifa ni kila nani jadilini hoja sio kusingizia wewe mwananchi chukuwa nafasi yako kutetea na kuendeleza nchi yako sio usalama wa taifa
 

Naomba kuelimishwa kidogo.
Zikishaingizwa hizo dola feki ktk maajenti na hao maajenti watazipeleka wapi baadae? tuseme bank ok na benki wakizipokea baadae watazipeleka wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…