Baija Bolobi
JF-Expert Member
- Feb 25, 2009
- 1,093
- 1,733
Wana JF
Sambamba na matokeo ya kuchakachua kutoka REDET, habari zilizoingia kwenye dish langu muda mfupi uliopita, zinasema wastaafu wameombwa na kubembelezwa sana kuingia kwenye kampeini kumwokoa JK ambaye hali yake ni mbaya. Kazi ya kubembeleza imefanywa na Makamu M/Kiti wa CCM (Bara), Mzee Msekwa na amenitonya leo mchana kuwa wazee wanaingia kuanzia wiki ijayo. Waliokubali japo kwa shingo upande ni FTS, BWM, AHM, na of course EL.
Waliokataa ni JSW na SAS.
Mzee JSM amekubali kwenda baadhi ya majimbo, siyo kwa kumnadi mgombea urais.
Inaonekana mkwala wa Redet unalenga kuwapa pa kuanzia katika kampeini zao, na mapolisi wameagizwa wahakikishe wazee hawazomewi.
Nionavyo mimi: La kuvunda......
Sambamba na matokeo ya kuchakachua kutoka REDET, habari zilizoingia kwenye dish langu muda mfupi uliopita, zinasema wastaafu wameombwa na kubembelezwa sana kuingia kwenye kampeini kumwokoa JK ambaye hali yake ni mbaya. Kazi ya kubembeleza imefanywa na Makamu M/Kiti wa CCM (Bara), Mzee Msekwa na amenitonya leo mchana kuwa wazee wanaingia kuanzia wiki ijayo. Waliokubali japo kwa shingo upande ni FTS, BWM, AHM, na of course EL.
Waliokataa ni JSW na SAS.
Mzee JSM amekubali kwenda baadhi ya majimbo, siyo kwa kumnadi mgombea urais.
Inaonekana mkwala wa Redet unalenga kuwapa pa kuanzia katika kampeini zao, na mapolisi wameagizwa wahakikishe wazee hawazomewi.
Nionavyo mimi: La kuvunda......