Viingilio hivi hapa, Simba tukaujaze uwanja Jumapili

Viingilio hivi hapa, Simba tukaujaze uwanja Jumapili

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
99e925d1446b40ef91868f3b940106f1_311158584_140477668459632_2666676654463115149_n.jpg


Wana Simba sasa tambo za mitaani, mitandaoni, maofisi, kanisani, vitandani tunazihamishia kwa Mkapa.

Kiingilio ni sawa na bure kabisa. Tunaenda kupiga "Full House" kutoa onyo kwa timu zitakazokuja makundi.
 
Dah,,Simba,,Simba,,,Simba kuna watu wanapresha zao muwe na utu wa kujali wagonjwa ndugu zangu.
 
Hiv wale jamaa wanatakiwa kufunga ngapi ili wafuzu wao?
 
Wanasema wanaweza kujitetea kwa AL HILAL na sio kwa Agosto ni hatari, bora wakafie nje watakuwa na cha kusingizia.
da!!!!,maskini Utopwinyo mdomo umemponza.....uwezo hawana..

kazi kujipitisha mbele za wanaume wakiwa wamelowa tayari....kazi inakuwa rahisi sana..
 
Twendeni asee tukashangalie kwa vistaili flaini amaizing[emoji91]
 
Back
Top Bottom