Viingilio hivi hapa, Simba tukaujaze uwanja Jumapili

Dah,,Simba,,Simba,,,Simba kuna watu wanapresha zao muwe na utu wa kujali wagonjwa ndugu zangu.
 
Hiv wale jamaa wanatakiwa kufunga ngapi ili wafuzu wao?
 
Wanasema wanaweza kujitetea kwa AL HILAL na sio kwa Agosto ni hatari, bora wakafie nje watakuwa na cha kusingizia.
da!!!!,maskini Utopwinyo mdomo umemponza.....uwezo hawana..

kazi kujipitisha mbele za wanaume wakiwa wamelowa tayari....kazi inakuwa rahisi sana..
 
Twendeni asee tukashangalie kwa vistaili flaini amaizing[emoji91]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…