daddys dota
Member
- Nov 21, 2014
- 66
- 4
Wanahitajika vijana 20 wa kuuza nguo kwa kutembeza nguo za mitumba za wadada, wamama na watoto,kutafuta masoko mbalimbali mfano maofisini, vyuoni, mitaani n.k
Malipo ni kwa siku.
VIGEZO:
Awe mchapakazi na mcha mungu
Awe na wadhamini/mdhamini(wazazi au ndugu wa damu)
Awe na nidhamu ya kazi
Awe tayari kufuata maelekezo ya kikazi atakayoagizwa mfano kuwatumia wateja wa mikoani nguo pamoja na kuwapelekea wateja nguo mahali popote walipo hapa DAR ES SALAAM
KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0659965555 AU 0766866683
Malipo ni kwa siku.
VIGEZO:
Awe mchapakazi na mcha mungu
Awe na wadhamini/mdhamini(wazazi au ndugu wa damu)
Awe na nidhamu ya kazi
Awe tayari kufuata maelekezo ya kikazi atakayoagizwa mfano kuwatumia wateja wa mikoani nguo pamoja na kuwapelekea wateja nguo mahali popote walipo hapa DAR ES SALAAM
KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NASI KWA NAMBA 0659965555 AU 0766866683