Uchaguzi 2020 Vijana huu ndio wakati wetu wa kuipiga CCM Oktoba 28

Uchaguzi 2020 Vijana huu ndio wakati wetu wa kuipiga CCM Oktoba 28

Sigara Kali

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2017
Posts
3,623
Reaction score
8,442
CCM bila vyombo vya Dola ni sawa na TLP tu

Tangu magufuli kaingia madarakani kalisahau kundi kubwa la vijana hasa kwenye suala la ajira

CCM chini ya Magufuli imetumia mabilioni ya watz kununua ndege ambazo ni hasara tupu kwa taifa ,ameshindwa kuajiri vijana wakaongeza pato la taifa

Mbaya zaidi CCM chini ya magufuli imeshindwa kutoa hata mikopo kwa vijana wajiajri imewaacha wakitanga tanga,hali ya maisha kwa vijana wengi wa Tanzania imekua ngumu vijana wamegeuka wazee wanatia huruma

Sasa huu mwaka sio wa kufanya makosa tuitoe CCM madarakani kwa kura nyingi,chama kimechoka hiki ,tangu uhuru hadi Leo taifa linanuka dhiki na umaskini

Tusifanye makosa Oktoba 28

CCM wekeni uwanja huru msitegemee polisi kuiba kura na kukimbia na mabox ya kura.
 
Je ni nani wa kuinusuru CCM kwa kipigo hiki?
 
Kweli mkuu kama graduates tunataabika tokea 2015 mpaka leo tuko mtaani
 
Vijana wa vyuo kikuu boom imemegwa hawana hamu.
Vijana hawakamatiki tena na wameamua.
chasoudsm-___CDdY1aCARg5___-.jpg
 
Tunahofi meza kupinduliwa,kama walivyo pindua 2015 Zenjibari
 
Vijana tusikubali kabisa ccm ipenye October, tumechoshwa na umaskini.
 
Wafanyakazi wanalia, Ni kilio.Tangu 2015 hakuna nyongeza ya mishahara yao ambayo IPO kwa mujibu Wa sheria. Vyuo vikuu watoto wanabaguliwa kupewa mikopo kisa walisoma private school, watu wanabambikiwa kesi, sababu kuu Ni kuwa wapinzani
 
Back
Top Bottom