Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Baraza la Vijana la Chama cha Mapinduzi CCM Mkoani Kagera limewataka Vijana mkoani humo kujitokeza kwa wingi kushiriki katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwezi Octoba Mwaka huu 2025.
Pia soma: Pre GE2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Kauli hiyo imetolewa na mwenyekiti wa jumuiya ya Vijana wa CCM Mkoa wa Kagera Bw. Faris Buruhani wakakti akihitimisha mkutano wa baraza la vijana wa chama hicho uliofanyika wilayani Ngara mkoani Kagera.
Pia soma: Pre GE2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Kauli hiyo imetolewa na mwenyekiti wa jumuiya ya Vijana wa CCM Mkoa wa Kagera Bw. Faris Buruhani wakakti akihitimisha mkutano wa baraza la vijana wa chama hicho uliofanyika wilayani Ngara mkoani Kagera.