Vijana Maras(Rastafarian) na urembo kwa Wanawake

Vijana Maras(Rastafarian) na urembo kwa Wanawake

idawa

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2012
Posts
25,284
Reaction score
38,364
Weekend njema wadau wa JF.

Mara nyingi nimekua nikiona vijana wenye rasta wakijihusisha na urembo kwa Wanawake.

Kusuka nywele, kupaka hina, kupaka rangi kucha, kusugua Miguu na mikono, kutinda nyusi na urembo mwingineo.

Mara nyingi wahusika ni vijana wa kiume hasa wenye rasta.

Sasa nimekua nikijiuliza kunauhusiano gani wao na urembo kwa Wanawake.

Au ukishakua Rasta unakua na hisia za urembo urembo.?
 
Last edited by a moderator:
Elezea unachojua nifah, nini hasa kinachowafanya hawa vijana Maras kupenda kazi ya kuremba Wanawake.
Honestly,I don't know why. Ila sio vizuri ulivyosema kua mtu akishakua ras anapenda urembo.Mbona wapo Maras wengine hawajihusishi na urembo?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom