Vijana real estate wametangaza mradi wao mpya wa kuuza viwanja kibaha ngeta, vijana changangamkieni fursa.

Vijana real estate wametangaza mradi wao mpya wa kuuza viwanja kibaha ngeta, vijana changangamkieni fursa.

Expensive life

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2020
Posts
2,971
Reaction score
9,437
Wakuu nimeona ni vyema nikashea na nyie kama kuna mtu atashawishika basi awekeze huko.

Hawa jamaa nimewaona mitandaoni na kwenye page ya salim kikeke, wana mradi wao mpya wa uuzaji wa viwanja kibaha ngeta, wanadai ni umbali wa km 15 kutoka moro road.

Kesho ndio wanazindua huo mradi mimi kama kijana nimeona ni vyema nikajionee kama nitaridhika basi nitawekeza huko. Japo nina maeneo mengine huko kibaha.

Bei zao ni 2 million kwa keshi na 2400,000 kwa installment yaani 200,000 kwa kila mwezi kwa mwaka mzima. Viwanja ukubwa ni kuanzia sqm 400 na kendelea. Kuna viwanja vya makazi na biashara.



8DF5B824-A247-43AE-B3D9-7FB4FB415CF5.jpeg

9736384C-C58D-4FFD-9844-88A29DF0984A.jpeg
1E50BF9A-96C5-4E2F-9C7A-670FBAE47840.jpeg
 
Wakuu nimeona ni vyema nikashea na nyie kama kuna mtu atashawishika basi awekeze huko.

Hawa jamaa nimewaona mitandaoni na kwenye page ya salim kikeke, wana mradi wao mpya wa uuzaji wa viwanja kibaha ngeta, wanadai ni umbali wa km 15 kutoka moro road.

Kesho ndio wanazindua huo mradi mimi kama kijana nimeona ni vyema nikajionee kama nitaridhika basi nitawekeza huko. Japo nina maeneo mengine huko kibaha.

Bei zao ni 2 million kwa keshi na 2400,000 kwa installment yaani 200,000 kwa kila mwezi kwa mwaka mzima. Viwanja ukubwa ni kuanzia sqm 400 na kendelea. Kuna viwanja vya makazi na biashara.



View attachment 3181838
View attachment 3181839View attachment 3181833
Kama hujasema ni kilomita ngapi kutoka barbarani nasi kuna shida.
 
Wakuu nimeona ni vyema nikashea na nyie kama kuna mtu atashawishika basi awekeze huko.

Hawa jamaa nimewaona mitandaoni na kwenye page ya salim kikeke, wana mradi wao mpya wa uuzaji wa viwanja kibaha ngeta, wanadai ni umbali wa km 15 kutoka moro road.

Kesho ndio wanazindua huo mradi mimi kama kijana nimeona ni vyema nikajionee kama nitaridhika basi nitawekeza huko. Japo nina maeneo mengine huko kibaha.

Bei zao ni 2 million kwa keshi na 2400,000 kwa installment yaani 200,000 kwa kila mwezi kwa mwaka mzima. Viwanja ukubwa ni kuanzia sqm 400 na kendelea. Kuna viwanja vya makazi na biashara.



View attachment 3181838
View attachment 3181839View attachment 3181833
Hivyo viwanja vilikuwa vya bank ya DUNDULIZA iliyofilisika! Sijui vilinenewa nini yarab toba! Haviuziki. Tumepambana kwa miaka minne tumechoka tukaacha
Nawaombea wafanikiwe ni pazuri sana
 
Ngeta ni mbali hatari
Umenikumbusha wazee wa zamani walisema sinza ni mbali Sanaa WAKASEMA Tabata segerea ni bonde la mpungaaa..
Mbezi ya msuguri ni nje ya mji mbali Sanaa..

Enzi izo kibao Cha karibu dar es salaam kikiwa magomeni 🏃🏃🏃
☺️😊😊😊
Yarab !?
 
wakuu juzi jumapili tulikuwa watu kama wote, eneo ni kubwa sana lina viwanja takribani 660.

 
Hivyo viwanja vilikuwa vya bank ya DUNDULIZA iliyofilisika! Sijui vilinenewa nini yarab toba! Haviuziki. Tumepambana kwa miaka minne tumechoka tukaacha
Nawaombea wafanikiwe ni pazuri sana
Hiyo Kibaha Ngeta kituo kikuu kwa Morogoro road ni Kibaha ipi?
 
Back
Top Bottom