Nina sikitika sana kuwa watanzania wengu tumekuwa sio wakweli na tumedeula matapeli tumetapeli wageni mpaka sasa uaminifu haswa kwa sisi vijana tunaoanza biashara umekuwa ni jambo ambalo hatuna na imekuwa vigumu kufanya biashara za kimataifa kwaajili ya wary wachache wenye tamaa za muda mfupi na mpaka sasa hawa ndio maadui wa maendeleo ya nchi yetu na wanaturudisha nyuma.
Ninaomba msaada kwa yeyeto anaweza kunisaidia nimetapeliwa $8000 katika biashara ya dhahabu ninamjua aliye nitapeli na ninaushahidi wote na udhibitisho. Nina copy ya passport yake na namba zake za simu zote zikiwa zimesajiliwa kwa jina lake.
Ninaomba msaada kwa yeyeto anaweza kunisaidia nimetapeliwa $8000 katika biashara ya dhahabu ninamjua aliye nitapeli na ninaushahidi wote na udhibitisho. Nina copy ya passport yake na namba zake za simu zote zikiwa zimesajiliwa kwa jina lake.