Pre GE2025 Vijana tuchague viongozi ambao wapo 'real', tusiangalie mionekano na fedha

Pre GE2025 Vijana tuchague viongozi ambao wapo 'real', tusiangalie mionekano na fedha

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

the guardian 17

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
395
Reaction score
570
"Sisi majority abao ni vijana tunaweza tukakata huo mrija tukapata viongozi ambao ni real simu anapokea akikuta missed call yako anakupigia. Tunaacha viongozi wengi kwa sababu hawana fedha , tunawaacha viongozi wengi kwa sababu ya mionekano yao, tunawwacha viongozi wengi tunawanyima nafasi za uongozi kwa sababu ya mionekano yao, kwa sababu ya familia wanazotokea hazina nasaba na uongozi. Tuchague viongozi ambao wapo real"
 
"Sisi majority abao ni vijana tunaweza tukakata huo mrija tukapata viongozi ambao ni real simu anapokea akikuta missed call yako anakupigia. Tunaacha viongozi wengi kwa sababu hawana fedha , tunawaacha viongozi wengi kwa sababu ya mionekano yao, tunawwacha viongozi wengi tunawanyima nafasi za uongozi kwa sababu ya mionekano yao, kwa sababu ya familia wanazotokea hazina nasaba na uongozi. Tuchague viongozi ambao wapo real"
View attachment 3267454
Kwani viongozi wanapatikana kwa kura za wananchi?
 
Back
Top Bottom