Vijana tunateswa na ukata mkali na mapenzi ya kitapeli. Tumevurugwa!

Vijana tunateswa na ukata mkali na mapenzi ya kitapeli. Tumevurugwa!

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Screenshot_20250223-091355.png


State of mind na afya ya akili ya vijana wa kibongo utaijulia humu JF. At some point kijana anaweza akakakurushia dongo kali humu, yani 24hrs yeye amevurugwa.

Frustration imekuwa kali, vijana wanachomiliki ni akaunti za mitandao ya kijamii na mia 500 za kununulia bahasha za kuzunguka na CV zao.

Mabinti nao siku hizi wana demand way too much into a man, so pale ulipodhania bebi anaweza kuwa faraja ya tabu zako ndio huyo tena anazipigia plaster kabisa na rangi juu.

Vipato vyenyewe hadi kubaki nacho unakuta kimekakatwa vipande vingi sana, alafu ghafla unamuona dogo huyo "Baba juma tatu ndio tunafungua shule"

Wazazi nao siku hizi ni mwendo wa kumfunda binti aangalie mwanaume mwenye uwezo.

Hii inapelekea mabinti kubabaishwa na flashy life, so ni mwendo wa kuchakazwa sana majamaa wenye crown, alafu at some point wana bakia kuwa single mother huku wakiandika nyuzi kulaumu wanaume wamekuwa wahuni sana.
 
Kijana mwenye ukata nae akishajipata anaambiwa awe mwaminifu kwa mwanamke mmoja. What the fvck.! a society that tells a broke man he isn't worthy of love has no right to tell a rich man to be royal to one woman. If money determime value, loyalty should be optional.
 
Back
Top Bottom