Vijana tupeane michongo

Vijana tupeane michongo

k-bee

JF-Expert Member
Joined
Aug 30, 2017
Posts
966
Reaction score
1,084
Habari gan wadau? Kitambo nlipotea ila nilikuwa na michongo flan naipiga so nlikuwa bize kidogo...! Tatizo la VIJANA sisi ni wagumu kupeana michongo.

Ni hivi kuna ishu kama mbili tatu nlikuwa nazifanya ambazo now napiga mpunga tararibu ISHU hizo ni kama zifuatazo

1) FOREX...Ni kweli sema inahitaji muda kuanza kutengeneza faida

2) Kilimo cha tangawizi cha kumwagilia hii inakupa best gain hii haswa ule usem jembe hakimtup mtu hapa ndio penyewe
3) Biashara ya Mpunga na Mchele....Now mpunga huku shamba tabora na shinyanga upo chin so ukiwa na fedha ukanunua na kusafirisha Mikoa ambayo hailim unapata faida tosha

VIJANA TUSHEE MICHONGO weka mchongo wako. Tupeane fursa Umaskin sio ndugu yetu.....Chaaaooo!
 
Hapo bado hujatoa mchongo wowote,
Kila mtu anajua watu wanalima tangawizi.
Na kila mtu anajua kuna uuzaji wa mpunga na mchele kila mkoa.

Mchongo ulifaa kuwa.
Jamani nimepata soko au tajr ananunua mchele kilo 1.5k njoeni tumuuzie.
Au kuna sehemu wanauza mpunga kwa bei ndogo, njoeni mnunue hapo sawa.
Hapo ndio tungesema huu kweli mchongo
 
Vijana au wewe pia hutoi mchongo.. sasa hapo si umeorodhesha tu mambo yakufanya.
Haya vijana kuna mchongo kuuza nguo za mtumba karume jamani changamkeni.
 
Hapo bado hujatoa mchongo wowote,
Kila mtu anajua watu wanalima tangawizi.
Na kila mtu anajua kuna uuzaji wa mpunga na mchele kila mkoa.

Mchongo ulifaa kuwa.
Jamani nimepata soko au tajr ananunua mchele kilo 1.5k njoeni tumuuzie.
Au kuna sehemu wanauza mpunga kwa bei ndogo, njoeni mnunue hapo sawa.
Hapo ndio tungesema huu kweli mchongo
Nadhani nmesema kuhusu mpunga huku tabora na shinyanga bado gunia la mpunga liko chini halizid 45k so fursa na ishu ya tangawizi huku madaba songea jiongeze
 
Vijana au wewe pia hutoi mchongo.. sasa hapo si umeorodhesha tu mambo yakufanya.
Haya vijana kuna mchongo kuuza nguo za mtumba karume jamani changamkeni.
Nmeorodhesha yale nayoyafanya kama umeridhia mojawapo ruksa kuuliza! ili nkuelekeze zaid
 
Mimi nawapa mchongo vijana badala ya kulima tangawizi wote Sasa wengine walime viungo vingine hasa vitunguu swaumu pia wasage viwe unga ready to cook au eat na wamalizie kwa kutangaza kama wanavyofanya roiko ya Kenya.
 
Habari gan wadau? kitambo nlipotea ila nilikuwa na michongo flan naipiga so nlikuwa bize kidogo...! Tatizo la VIJANA sisi ni wagumu kupeana michongo.

Ni hivi kuna ishu kama mbili tatu nlikuwa nazifanya amabazo now napiga mpunga tararibu ISHU hizo ni kama zifuatazo

1) FOREX...Ni kweli sema inahitaji muda kuanza kutengeneza faida

2) Kilimo cha tangawizi cha kumwagilia hii inakupa best gain hii haswa ule usem jembe hakimtup mtu hapa ndio penyewe
3) Biashara ya Mpunga na Mchele....Now mpunga huku shamba tabora na shinyanga upo chin so ukiwa na fedha ukanunua na kusafirisha Mikoa ambayo hailim unapata faida tosha

VIJANA TUSHEE MICHONGO weka mchongo wako. Tupeane fursa Umaskin sio ndugu yetu.....Chaaaooo!
Kama mwanaume kweli nenda migodini kesho tu unakuwa vyema acha kupanga rangi kucha wamama.
 
Habari gan wadau? kitambo nlipotea ila nilikuwa na michongo flan naipiga so nlikuwa bize kidogo...! Tatizo la VIJANA sisi ni wagumu kupeana michongo.

Ni hivi kuna ishu kama mbili tatu nlikuwa nazifanya amabazo now napiga mpunga tararibu ISHU hizo ni kama zifuatazo

1) FOREX...Ni kweli sema inahitaji muda kuanza kutengeneza faida

2) Kilimo cha tangawizi cha kumwagilia hii inakupa best gain hii haswa ule usem jembe hakimtup mtu hapa ndio penyewe
3) Biashara ya Mpunga na Mchele....Now mpunga huku shamba tabora na shinyanga upo chin so ukiwa na fedha ukanunua na kusafirisha Mikoa ambayo hailim unapata faida tosha

VIJANA TUSHEE MICHONGO weka mchongo wako. Tupeane fursa Umaskin sio ndugu yetu.....Chaaaooo!
Bado unaota ndoto za m mchana
 
Forex ni mkombozi mkuu, kinachohitajika ni Knowledge ya kutosha tu

Hakuna biashara utakayoanza bila kuinvest hata kama ni kilimo:
1.Muda
2.Akili
3.Pesa

Hivyo Amua kujila
 
natoa mchongo kwa kijana ambaye yupo serious,
anatafutwa kijana MEA au KE,mwenye burchellor ya general agr.GPA 3.8,au MSc GPA 4.O, ni pm fast.
 
Back
Top Bottom