Vijana wa 2000 wangekutana na hii kitu tungezika wengi

Vijana wa 2000 wangekutana na hii kitu tungezika wengi

winston20

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2020
Posts
1,116
Reaction score
2,303
Nakumbuka kipindi niko kidato cha kwanza kuna muhuni mmoja alinipatia kiasi akasisitiza niweke chini ya ulimi ila nisimeze mate.. Nkajisahau nkameza mate, hahaha nikaanza kuona ardhi inazunguka, ghafla macho yakaanza kupoteza nuru nkaanza kuona wale watu weupe.
Screenshot_20230604-174826.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakumbuka kipindi niko kidato cha kwanza kuna muhuni mmoja alinipatia kiasi akasisitiza niweke chini ya ulimi ila nisimeze mate..Nkajisahau nkameza mate,hahaha nikaanza kuona ardhi inazunguka, ghafla macho yakaanza kupoteza nuru nkaanza kuona wale watu weupe.[emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2646131

Sent using Jamii Forums mobile app
Ilikua dawa au mchezo tu?
 
Aisee hayo majani yalikwa hatari sio mchezo ,One day moja nimetumwa nikanunue kwa Mbeya yalikuwa yanauzwa Uhindini bas yule ndugu aliyenituma akasema nikupe kidogo so nikajitia mjuaji Zaid kilichotokea bahat nzuri nilikuwa karibu na nyumbani acha tu kitanda nilikuwa kinazunguka yaani kila kitu kina kuwa out of control
 
Kuna fala m'moja kipindi hicho nipo form one, alinipa hii kitu bila kunipa angalizo lolote. Nikaichukua nikaiweka ulimini badala ya nyuma ya lips halafu muda huo huo nikatema ili kujiokoa kumbe ni too late kitu ipo tayari kwenye mfumo wangu kupitia yale mate niliyomeza.

Kosa kubwa nilifanya ni kumeza mate. Mara mbili so dakika zilizofuata kilichonikuta ndio sababu naandika hapa hii komenti.

Nilikichezea kimbunga cha Kuber hadi nikasema kimoyo moyo na alaaniwe aliyetengeneza haya makitu ili watoto wa watu waumie hivi.

Yaani kizungu zungu si kizungu zungu, pressure kupanda sijui, muda mwingine unaona kabisa inchi inapatwa na tetemeko la ardhi ila wewe pekee yako ndio unalisikia kwa nguvu, mixer kuna muda unahisi kuna kundi la nyuki linakufuata ila hauwaoni, mara usikie ving'ora vya gari ya wagonjwa halafu vinapotea ghafla, tena usikie kengele ile ya ringi la gari inalia mtaa wa nyuma. Hapo mwili ni wa baridi ila utasikia Joto la hatari aiseee unavua shati unatamani kubakia na boxer tu.

Ile vita sitakuja kuisahau. Nikakosea nikaenda home baada ya kuona hali inakuwa tete si nikachukua chai kwenye chupa nikaweka na kahawa sasa sijui ili iweje nikiamini itanipa ahuweni. Yaani kichwa chote nakisikia Ziiiiiiiiiiiiiii. Nikanywa chai funda kadhaa. Weee nilitapika chakula chote cha mchana.

Nikaenda kulala kimya chumbani maana sikutaka kuraise maswali mengi endapo wangejua nini kinaendelea. Nikaingia nikaweka miguu ukutani nikalala huku kimoyo moyo nasali rozali na kutubu dhambi zote maana nilikuwa nahisi nikilala hapa naweza nyoosha hii kitu ni zaidi ya sumu.

Dah nashukuru MUNGU nakuja kuamka ni asubuhi mapema siku ya pili. Tokea siku hiyo nikawa nikinusa harufu ya kuber au harufu ya Udi fulani hivi unaofanana na Kuberi nahisi kutapika.

Kuber matako yako.
 
Kuna fala m'moja kipindi hicho nipo form one, alinipa hii kitu bila kunipa angalizo lolote. Nikaichukua nikaiweka ulimini badala ya nyuma ya lips halafu muda huo huo nikatema ili kujiokoa kumbe ni too late kitu ipo tayari kwenye mfumo wangu kupitia yale mate niliyomeza.

Kosa kubwa nilifanya ni kumeza mate. Mara mbili so dakika zilizofuata kilichonikuta ndio sababu naandika hapa hii komenti.

Nilikichezea kimbunga cha Kuber hadi nikasema kimoyo moyo na alaaniwe aliyetengeneza haya makitu ili watoto wa watu waumie hivi.

Yaani kizungu zungu si kizungu zungu, pressure kupanda sijui, muda mwingine unaona kabisa inchi inapatwa na tetemeko la ardhi ila wewe pekee yako ndio unalisikia kwa nguvu, mixer kuna muda unahisi kuna kundi la nyuki linakufuata ila hauwaoni, mara usikie ving'ora vya gari ya wagonjwa halafu vinapotea ghafla, tena usikie kengele ile ya ringi la gari inalia mtaa wa nyuma. Hapo mwili ni wa baridi ila utasikia Joto la hatari aiseee unavua shati unatamani kubakia na boxer tu.

Ile vita sitakuja kuisahau. Nikakosea nikaenda home baada ya kuona hali inakuwa tete si nikachukua chai kwenye chupa nikaweka na kahawa sasa sijui ili iweje nikiamini itanipa ahuweni. Yaani kichwa chote nakisikia Ziiiiiiiiiiiiiii. Nikanywa chai funda kadhaa. Weee nilitapika chakula chote cha mchana.

Nikaenda kulala kimya chumbani maana sikutaka kuraise maswali mengi endapo wangejua nini kinaendelea. Nikaingia nikaweka miguu ukutani nikalala huku kimoyo moyo nasali rozali na kutubu dhambi zote maana nilikuwa nahisi nikilala hapa naweza nyoosha hii kitu ni zaidi ya sumu.

Dah nashukuru MUNGU nakuja kuamka ni asubuhi mapema siku ya pili. Tokea siku hiyo nikawa nikinusa harufu ya kuber au harufu ya Udi fulani hivi unaofanana na Kuberi nahisi kutapika.

Kuber matako yako.

[emoji23][emoji23][emoji1787]aisee pole sana
 
Hii ilikuwa SAS pale Nguvumali Tanga tokana na Cancer ya Mdomo. Kuna jamaa tulikuwa tunamuita Sele Malaria tukiwa tunasoma alinilazimisha kula hivi ila namshukuru Mungu sikuwa addicted navyo.
 
Kuna fala m'moja kipindi hicho nipo form one, alinipa hii kitu bila kunipa angalizo lolote. Nikaichukua nikaiweka ulimini badala ya nyuma ya lips halafu muda huo huo nikatema ili kujiokoa kumbe ni too late kitu ipo tayari kwenye mfumo wangu kupitia yale mate niliyomeza.

Kosa kubwa nilifanya ni kumeza mate. Mara mbili so dakika zilizofuata kilichonikuta ndio sababu naandika hapa hii komenti.

Nilikichezea kimbunga cha Kuber hadi nikasema kimoyo moyo na alaaniwe aliyetengeneza haya makitu ili watoto wa watu waumie hivi.

Yaani kizungu zungu si kizungu zungu, pressure kupanda sijui, muda mwingine unaona kabisa inchi inapatwa na tetemeko la ardhi ila wewe pekee yako ndio unalisikia kwa nguvu, mixer kuna muda unahisi kuna kundi la nyuki linakufuata ila hauwaoni, mara usikie ving'ora vya gari ya wagonjwa halafu vinapotea ghafla, tena usikie kengele ile ya ringi la gari inalia mtaa wa nyuma. Hapo mwili ni wa baridi ila utasikia Joto la hatari aiseee unavua shati unatamani kubakia na boxer tu.

Ile vita sitakuja kuisahau. Nikakosea nikaenda home baada ya kuona hali inakuwa tete si nikachukua chai kwenye chupa nikaweka na kahawa sasa sijui ili iweje nikiamini itanipa ahuweni. Yaani kichwa chote nakisikia Ziiiiiiiiiiiiiii. Nikanywa chai funda kadhaa. Weee nilitapika chakula chote cha mchana.

Nikaenda kulala kimya chumbani maana sikutaka kuraise maswali mengi endapo wangejua nini kinaendelea. Nikaingia nikaweka miguu ukutani nikalala huku kimoyo moyo nasali rozali na kutubu dhambi zote maana nilikuwa nahisi nikilala hapa naweza nyoosha hii kitu ni zaidi ya sumu.

Dah nashukuru MUNGU nakuja kuamka ni asubuhi mapema siku ya pili. Tokea siku hiyo nikawa nikinusa harufu ya kuber au harufu ya Udi fulani hivi unaofanana na Kuberi nahisi kutapika.

Kuber matako yako.
Hahaaa, pole. Mi nilinusurika kuwa addicted na hii kitu. Namshukuru Mungu kwa hilo.
 
Kuna fala m'moja kipindi hicho nipo form one, alinipa hii kitu bila kunipa angalizo lolote. Nikaichukua nikaiweka ulimini badala ya nyuma ya lips halafu muda huo huo nikatema ili kujiokoa kumbe ni too late kitu ipo tayari kwenye mfumo wangu kupitia yale mate niliyomeza.

Kosa kubwa nilifanya ni kumeza mate. Mara mbili so dakika zilizofuata kilichonikuta ndio sababu naandika hapa hii komenti.

Nilikichezea kimbunga cha Kuber hadi nikasema kimoyo moyo na alaaniwe aliyetengeneza haya makitu ili watoto wa watu waumie hivi.

Yaani kizungu zungu si kizungu zungu, pressure kupanda sijui, muda mwingine unaona kabisa inchi inapatwa na tetemeko la ardhi ila wewe pekee yako ndio unalisikia kwa nguvu, mixer kuna muda unahisi kuna kundi la nyuki linakufuata ila hauwaoni, mara usikie ving'ora vya gari ya wagonjwa halafu vinapotea ghafla, tena usikie kengele ile ya ringi la gari inalia mtaa wa nyuma. Hapo mwili ni wa baridi ila utasikia Joto la hatari aiseee unavua shati unatamani kubakia na boxer tu.

Ile vita sitakuja kuisahau. Nikakosea nikaenda home baada ya kuona hali inakuwa tete si nikachukua chai kwenye chupa nikaweka na kahawa sasa sijui ili iweje nikiamini itanipa ahuweni. Yaani kichwa chote nakisikia Ziiiiiiiiiiiiiii. Nikanywa chai funda kadhaa. Weee nilitapika chakula chote cha mchana.

Nikaenda kulala kimya chumbani maana sikutaka kuraise maswali mengi endapo wangejua nini kinaendelea. Nikaingia nikaweka miguu ukutani nikalala huku kimoyo moyo nasali rozali na kutubu dhambi zote maana nilikuwa nahisi nikilala hapa naweza nyoosha hii kitu ni zaidi ya sumu.

Dah nashukuru MUNGU nakuja kuamka ni asubuhi mapema siku ya pili. Tokea siku hiyo nikawa nikinusa harufu ya kuber au harufu ya Udi fulani hivi unaofanana na Kuberi nahisi kutapika.

Kuber matako yako.
😅😅😅
 
Kuna fala m'moja kipindi hicho nipo form one, alinipa hii kitu bila kunipa angalizo lolote. Nikaichukua nikaiweka ulimini badala ya nyuma ya lips halafu muda huo huo nikatema ili kujiokoa kumbe ni too late kitu ipo tayari kwenye mfumo wangu kupitia yale mate niliyomeza.

Kosa kubwa nilifanya ni kumeza mate. Mara mbili so dakika zilizofuata kilichonikuta ndio sababu naandika hapa hii komenti.

Nilikichezea kimbunga cha Kuber hadi nikasema kimoyo moyo na alaaniwe aliyetengeneza haya makitu ili watoto wa watu waumie hivi.

Yaani kizungu zungu si kizungu zungu, pressure kupanda sijui, muda mwingine unaona kabisa inchi inapatwa na tetemeko la ardhi ila wewe pekee yako ndio unalisikia kwa nguvu, mixer kuna muda unahisi kuna kundi la nyuki linakufuata ila hauwaoni, mara usikie ving'ora vya gari ya wagonjwa halafu vinapotea ghafla, tena usikie kengele ile ya ringi la gari inalia mtaa wa nyuma. Hapo mwili ni wa baridi ila utasikia Joto la hatari aiseee unavua shati unatamani kubakia na boxer tu.

Ile vita sitakuja kuisahau. Nikakosea nikaenda home baada ya kuona hali inakuwa tete si nikachukua chai kwenye chupa nikaweka na kahawa sasa sijui ili iweje nikiamini itanipa ahuweni. Yaani kichwa chote nakisikia Ziiiiiiiiiiiiiii. Nikanywa chai funda kadhaa. Weee nilitapika chakula chote cha mchana.

Nikaenda kulala kimya chumbani maana sikutaka kuraise maswali mengi endapo wangejua nini kinaendelea. Nikaingia nikaweka miguu ukutani nikalala huku kimoyo moyo nasali rozali na kutubu dhambi zote maana nilikuwa nahisi nikilala hapa naweza nyoosha hii kitu ni zaidi ya sumu.

Dah nashukuru MUNGU nakuja kuamka ni asubuhi mapema siku ya pili. Tokea siku hiyo nikawa nikinusa harufu ya kuber au harufu ya Udi fulani hivi unaofanana na Kuberi nahisi kutapika.

Kuber matako yako.
[emoji23][emoji23]
 
Kuber then kuna pariki😅😅uhuni wa wahindi.

Mi ugoro bhana nilitumwa kipind hicho wanafunga kweny gomba(majani yaliyokauka ya mgomba) basi wanafunga kama kawaida na kamba ,nilitumwa sikufungua ila nilinusa kwa nje tu😅😅😅.

Niliumwa na kichwa ,nilitoka makamasi kama kondoo nililala home saa 11 jioni mpaka kesho sikuenda shule ,nikapelekwa hospital na sikusema kama nimenusa ugoro .

Hospital walivyokuwa wahuni nikaambiwa ni malaria ila siku ya pili nilikuwa na mafua makali ,siku ya tatu nikawa fresh.
 
Kuber then kuna pariki[emoji28][emoji28]uhuni wa wahindi.

Mi ugoro bhana nilitumwa kipind hicho wanafunga kweny gomba(majani yaliyokauka ya mgomba) basi wanafunga kama kawaida na kamba ,nilitumwa sikufungua ila nilinusa kwa nje tu[emoji28][emoji28][emoji28].

Niliumwa na kichwa ,nilitoka makamasi kama kondoo nililala home saa 11 jioni mpaka kesho sikuenda shule ,nikapelekwa hospital na sikusema kama nimenusa ugoro .

Hospital walivyokuwa wahuni nikaambiwa ni malaria ila siku ya pili nilikuwa na mafua makali ,siku ya tatu nikawa fresh.
[emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu Kanji ni Konyo🤣🤣🤣
Kuna fala m'moja kipindi hicho nipo form one, alinipa hii kitu bila kunipa angalizo lolote. Nikaichukua nikaiweka ulimini badala ya nyuma ya lips halafu muda huo huo nikatema ili kujiokoa kumbe ni too late kitu ipo tayari kwenye mfumo wangu kupitia yale mate niliyomeza.

Kosa kubwa nilifanya ni kumeza mate. Mara mbili so dakika zilizofuata kilichonikuta ndio sababu naandika hapa hii komenti.

Nilikichezea kimbunga cha Kuber hadi nikasema kimoyo moyo na alaaniwe aliyetengeneza haya makitu ili watoto wa watu waumie hivi.

Yaani kizungu zungu si kizungu zungu, pressure kupanda sijui, muda mwingine unaona kabisa inchi inapatwa na tetemeko la ardhi ila wewe pekee yako ndio unalisikia kwa nguvu, mixer kuna muda unahisi kuna kundi la nyuki linakufuata ila hauwaoni, mara usikie ving'ora vya gari ya wagonjwa halafu vinapotea ghafla, tena usikie kengele ile ya ringi la gari inalia mtaa wa nyuma. Hapo mwili ni wa baridi ila utasikia Joto la hatari aiseee unavua shati unatamani kubakia na boxer tu.

Ile vita sitakuja kuisahau. Nikakosea nikaenda home baada ya kuona hali inakuwa tete si nikachukua chai kwenye chupa nikaweka na kahawa sasa sijui ili iweje nikiamini itanipa ahuweni. Yaani kichwa chote nakisikia Ziiiiiiiiiiiiiii. Nikanywa chai funda kadhaa. Weee nilitapika chakula chote cha mchana.

Nikaenda kulala kimya chumbani maana sikutaka kuraise maswali mengi endapo wangejua nini kinaendelea. Nikaingia nikaweka miguu ukutani nikalala huku kimoyo moyo nasali rozali na kutubu dhambi zote maana nilikuwa nahisi nikilala hapa naweza nyoosha hii kitu ni zaidi ya sumu.

Dah nashukuru MUNGU nakuja kuamka ni asubuhi mapema siku ya pili. Tokea siku hiyo nikawa nikinusa harufu ya kuber au harufu ya Udi fulani hivi unaofanana na Kuberi nahisi kutapika.

Kuber matako yako.
 
Nakumbuka kipindi niko kidato cha kwanza kuna muhuni mmoja alinipatia kiasi akasisitiza niweke chini ya ulimi ila nisimeze mate.. Nkajisahau nkameza mate, hahaha nikaanza kuona ardhi inazunguka, ghafla macho yakaanza kupoteza nuru nkaanza kuona wale watu weupe.View attachment 2646131

Sent using Jamii Forums mobile app
😅😅😅 hii naimanya mwananguu haikuwa ya mchezo mchezo
 
Back
Top Bottom