Vijana wa 2000 wangekutana na hii kitu tungezika wengi

😂😂😂
 
Hii kitu acha kabisa hata Mimi sipatani na udi kabisa.
 
Siku hizi madogo wanavuta shisha wanajiona wajanja, legend nawaangaliaga tu nasema 'Hiiiii bhagoshaaa'

Rule no #1 usimeze mate
Rule no #2 dont forget rule no #1
 
Nilikuwa nikinusa karatasi tu,nahisi kizunguzungu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nashukuru sikuwahi tumia madawa ya kulevya, pombe, sigara Wala bangi enzi nasoma shule
Lazima ulipewa majina kama-:
-Msongo,
-Mtoboa ozone,
-Kiherehere mbobevu,
-Bikra wa kijiji,
-Karani sugu wa kijiji,
-Umetumwa na kijiji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…