Vijana wa BSS vs Mastaa wa Fiesta

Vijana wa BSS vs Mastaa wa Fiesta

Makenya

Member
Joined
Jan 20, 2011
Posts
33
Reaction score
3
Wana JF hawa vijana wa BSS, wanaimba live vizuri sana, na sauti zao zinatoka vizuri, kuliko wale Mastaa wa Fiesta, wanaombia kwa kutumia playback.
 
Kweli mkuu hawa vijana wa playback muziki wake ni wa vyombo tu
 
Mastaa wa Fiesta au Wanamuziki wa Tanzania? Wale wamealikwa tuu kufanya show ,sio wasanii wao
 
Back
Top Bottom